22 Reubeni akawaambia, Msimwage damu; mtupeni katika birika hii iliyopo nyikani, wala msimguse; ili apate kumwokoa katika mikono yao, akamrudishe kwa baba yake.
Kusoma sura kamili Mwa. 37
Mtazamo Mwa. 37:22 katika mazingira