35 Wanawe wote, na binti zake wote, wakaondoka wamtulize, lakini akakataa kutulizwa, akasema, La! Nitamshukia mwanangu, nikisikitika, hata kuzimu. Baba yake akamlilia.
Kusoma sura kamili Mwa. 37
Mtazamo Mwa. 37:35 katika mazingira