Mwa. 38:14 SUV

14 Basi akavua nguo za ujane wake, akajivika utaji, akajifunika uso, akakaa mlangoni pa Enaimu, karibu na njia ya kuendea Timna. Maana aliona ya kwamba Shela amekuwa mtu mzima, wala hakuozwa awe mkewe.

Kusoma sura kamili Mwa. 38

Mtazamo Mwa. 38:14 katika mazingira