9 Fanyeni haraka, mmwendee baba yangu, mkamwambie, Hivi ndivyo asemavyo mwanao Yusufu, Mungu ameniweka kuwa bwana katika Misri yote, basi unishukie, usikawie.
Kusoma sura kamili Mwa. 45
Mtazamo Mwa. 45:9 katika mazingira