29 Yusufu akatandika gari lake, akapanda kwenda kumlaki Israeli, babaye, huko Gosheni; akajionyesha kwake, akamwangukia shingoni, akalia shingoni mwake kitambo kizima.
Kusoma sura kamili Mwa. 46
Mtazamo Mwa. 46:29 katika mazingira