Mwa. 47:15 SUV

15 Fedha zote zilipokwisha katika nchi ya Misri na katika nchi ya Kanaani, Wamisri wote walimjia Yusufu, wakisema, Tupe sisi chakula, kwa nini tufe mbele ya macho yako? Maana fedha zetu zimekwisha.

Kusoma sura kamili Mwa. 47

Mtazamo Mwa. 47:15 katika mazingira