Mwa. 47:24 SUV

24 Itakuwa wakati wa mavuno mtampa Farao sehemu ya tano, na sehemu nne zitakuwa zenu wenyewe, kuwa mbegu za nchi, na chakula chenu, na chakula chao waliomo nyumbani mwenu, na chakula cha watoto wenu.

Kusoma sura kamili Mwa. 47

Mtazamo Mwa. 47:24 katika mazingira