Mwa. 47:29 SUV

29 Siku za kufa kwake Israeli zikakaribia; akamwita mwanawe Yusufu, akamwambia, Kama nimeona kibali machoni pako, weka mkono wako chini ya paja langu, ukanifanyie rehema na kweli; nakusihi usinizike katika Misri.

Kusoma sura kamili Mwa. 47

Mtazamo Mwa. 47:29 katika mazingira