Mwa. 50:15 SUV

15 Ndugu zake Yusufu walipoona ya kwamba baba yao amekufa, walisema, Labda Yusufu atatuchukia; naye atatulipa maovu yetu tuliyomtenda.

Kusoma sura kamili Mwa. 50

Mtazamo Mwa. 50:15 katika mazingira