Mwa. 50:17 SUV

17 Mwambieni Yusufu hivi, Naomba uwaachilie ndugu zako kosa lao na dhambi yao, maana walikutenda mabaya; sasa twakuomba utuachilie kosa la watumwa wa Mungu wa baba yako. Yusufu akalia waliposema naye.

Kusoma sura kamili Mwa. 50

Mtazamo Mwa. 50:17 katika mazingira