15 nami nitalikumbuka agano langu, lililoko kati yangu na ninyi, na kila kiumbe hai katika wote wenye mwili, wala maji hayatakuwa gharika tena kuwaharibu wote wenye mwili.
Kusoma sura kamili Mwa. 9
Mtazamo Mwa. 9:15 katika mazingira