Neh. 8:2 SUV

2 Naye Ezra, kuhani, akaileta torati mbele ya kusanyiko, la wanaume na wanawake, na wote walioweza kusikia na kufahamu, siku ya kwanza na mwezi wa saba.

Kusoma sura kamili Neh. 8

Mtazamo Neh. 8:2 katika mazingira