1 Mimi ni mtu aliyeona matesoKwa fimbo ya ghadhabu yake.
2 Ameniongoza na kuniendesha katika gizaWala si katika nuru.
3 Hakika juu yangu augeuza mkono wakeMara kwa mara mchana wote.
4 Amechakaza nyama yangu na ngozi yangu;Ameivunja mifupa yangu.