28 Na akae peke yake na kunyamaza kimya;Kwa sababu Bwana ameweka hayo juu yake.
29 Na atie kinywa chake mavumbini;Ikiwa yamkini liko tumaini.
30 Na amwelekezee yule ampigaye shavu lake;Ashibishwe mashutumu.
31 Kwa kuwa Bwana hatamtupa mtuHata milele.
32 Maana ajapomhuzunisha atamrehemu,Kwa kadiri ya wingi wa huruma zake.
33 Maana moyo wake hapendi kuwatesa wanadamu.Wala kuwahuzunisha.
34 Kuwaseta chini kwa miguuWafungwa wote wa duniani,