55 Naliliitia jina lako, BWANA, kutoka lile shimoLiendalo chini kabisa.
56 Ukaisikia sauti yangu; usifiche sikio lakoIli usisikie pumzi yangu, kwa kilio changu.
57 Ulinikaribia siku ile nilipokulilia;Ukasema, Usiogope.
58 Ee BWANA umenitetea mateto ya nafsi yangu;Umeukomboa uhai wangu.
59 Umekuona kudhulumiwa kwangu, Ee BWANA;Unihukumie neno langu.
60 Umekiona kisasi chao chote,Na mashauri yao yote juu yangu.
61 Ee BWANA, umeyasikia matukano yao,Na mashauri yao yote juu yangu;