Sef. 1:4 SUV

4 Nami nitaunyosha mkono wangu juu ya Yuda, na juu ya watu wote wakaao Yerusalemu; nami nitayakatilia mbali mabaki ya Baali, yasionekane mahali hapa, na hilo jina la Wakemari pamoja na makuhani;

Kusoma sura kamili Sef. 1

Mtazamo Sef. 1:4 katika mazingira