13 mfalme wa Debiri, mmoja; na mfalme wa Gederi, mmoja;
14 mfalme wa Horma, mmoja; na mfalme wa Aradi, mmoja;
15 mfalme wa Libna, mmoja; na mfalme wa Adulamu, mmoja;
16 mfalme wa Makeda, mmoja; na mfalme wa Betheli, mmoja;
17 mfalme wa Tapua, mmoja; na mfalme wa Heferi, mmoja;
18 mfalme wa Afeka, mmoja; na mfalme wa Lasharoni, mmoja;
19 mfalme wa Madoni, mmoja; na mfalme wa Hazori, mmoja;