18 mfalme wa Afeka, mmoja; na mfalme wa Lasharoni, mmoja;
19 mfalme wa Madoni, mmoja; na mfalme wa Hazori, mmoja;
20 mfalme wa Shimron-meroni, mmoja; na mfalme wa Akshafu, mmoja;
21 mfalme wa Taanaki, mmoja; na mfalme wa Megido, mmoja;
22 na mfalme wa Kedeshi, mmoja; mfalme wa Yokneamu wa Karmeli, mmoja;
23 mfalme wa Dori katika kilima cha Dori, mmoja; na mfalme wa makabila katika Gilgali, mmoja;
24 na mfalme wa Tirsa, mmoja; wafalme hao wote walikuwa ni thelathini na mmoja.