8 katika nchi ya vilima, na katika Shefela, na katika nchi ya Araba, na katika matelemko, na katika bara, na katika Negebu; nchi ya Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi;
9 mfalme wa Yeriko, mmoja; mfalme wa Ai, ulio karibu na Betheli, mmoja;
10 mfalme wa Yerusalemu, mmoja; mfalme wa Hebroni, mmoja;
11 mfalme wa Yarmuthi, mmoja; na mfalme wa Lakishi, mmoja;
12 mfalme wa Egloni, mmoja; na mfalme wa Gezeri, mmoja;
13 mfalme wa Debiri, mmoja; na mfalme wa Gederi, mmoja;
14 mfalme wa Horma, mmoja; na mfalme wa Aradi, mmoja;