21 Miji ya mwisho ya kabila ya wana wa Yuda upande wa kuelekea mpaka wa Edomu katika nchi ya Negebu ilikuwa ni Kabseeli, na Ederi, na Yaguri;
22 na Kina, na Dimona, na Adada;
23 na Kedeshi, na Hazori, na Ithnani;
24 na Zifu, na Telemu, na Bealothi;
25 na Hazor-hadata, na Kerioth-hezroni (ndio Hazori);
26 na Amamu, na Shema, na Molada;
27 na Hasar-gada, na Heshmoni, na Bethpeleti;