Yos. 18:20 SUV

20 Na mto wa Yordani ulikuwa ndio mpaka wake upande wa mashariki. Huo ndio urithi wa wana wa Benyamini, kwa kuandama mipaka yake kwa kuuzunguka kote kote, sawasawa na jamaa zao.

Kusoma sura kamili Yos. 18

Mtazamo Yos. 18:20 katika mazingira