40 Kisha kura ya saba ilitokea kwa ajili ya kabila ya wana wa Dani kwa kuandama jamaa zao.
41 Na mpaka wa urithi wao ulikuwa ni Sora, na Eshtaoli, na Irishemeshi;
42 na Shaalabini, na Aiyaloni, na Ithla;
43 na Eloni, na Timna, na Ekroni;
44 na Elteka, na Gibethoni, na Baalathi;
45 na Yehudi, na Bene-beraki, na Gathrimoni;
46 na Meyarkoni, na Rakoni, pamoja na huo mpaka uliokuwa mkabala wa Yafa.