Yos. 8:21 SUV

21 Basi hapo Yoshua na Israeli wote walipoona ya kwamba hao waliovizia wamekwisha kuushika huo mji, na ya kwamba moshi wa mji umepaa juu, ndipo wakageuka tena, na kuwaua watu wa Ai.

Kusoma sura kamili Yos. 8

Mtazamo Yos. 8:21 katika mazingira