11 Nao wakamjibu yule malaika wa BWANA aliyesimama kati ya mihadasi, wakasema, Tumekwenda huko na huko duniani, na tazama, dunia yote inatulia, nayo imestarehe.
Kusoma sura kamili Zek. 1
Mtazamo Zek. 1:11 katika mazingira