Zek. 12:8 SUV

8 Katika siku hiyo BWANA atawalinda wenyeji wa Yerusalemu; na yeye aliye dhaifu miongoni mwao atakuwa kama Daudi siku hiyo; nayo nyumba ya Daudi itakuwa kama Mungu, kama malaika wa BWANA mbele yao.

Kusoma sura kamili Zek. 12

Mtazamo Zek. 12:8 katika mazingira