Zek. 14:16 SUV

16 Hata itakuwa, ya kwamba kila mtu aliyesalia wa mataifa yote, waliokuja kupigana na Yerusalemu, atakwea mwaka baada ya mwaka ili kumwabudu Mfalme, BWANA wa majeshi, na kuishika sikukuu ya Vibanda.

Kusoma sura kamili Zek. 14

Mtazamo Zek. 14:16 katika mazingira