Zek. 7:7 SUV

7 Je! Hayo siyo maneno aliyoyasema BWANA kwa vinywa vya manabii wa zamani, wakati Yerusalemu ulipokaliwa na watu na kufanikiwa, na miji yake iliyokuwa ikiuzunguka; na wakati ule ambao nchi ya Negebu na Shefela ilipokuwa ikikaliwa na watu?

Kusoma sura kamili Zek. 7

Mtazamo Zek. 7:7 katika mazingira