15 BWANA wa majeshi atawalinda;Nao watakula na kuyakanyaga mawe ya teo;Nao watakunywa na kufanya kelele kama kwa divai;Nao watajazwa kama mabakuli, kama pembe za madhabahu.
Kusoma sura kamili Zek. 9
Mtazamo Zek. 9:15 katika mazingira