Zek. 9:7 SUV

7 Nami nitaondoa damu yake kinywani mwake, na machukizo yake nitayatoa katika meno yake; yeye naye atakuwa ni mabaki kwa Mungu wetu; naye atakuwa kama mtu mkuu katika Yuda, na Ekroni kama Myebusi.

Kusoma sura kamili Zek. 9

Mtazamo Zek. 9:7 katika mazingira