Ufunuo 18:19 BHN

19 Wakajimwagia vumbi juu ya vichwa vyao wakilia kwa sauti na kuomboleza: “Ole! Ole kwako mji mkuu! Ni mji ambamo wote wenye meli zisafirizo baharini walitajirika kutokana na utajiri wake. Kwa muda wa saa moja tu umepoteza kila kitu!

Kusoma sura kamili Ufunuo 18

Mtazamo Ufunuo 18:19 katika mazingira