Yohane 21:8 BHN

8 Lakini wale wanafunzi wengine walikuja pwani kwa mashua huku wanauvuta wavu uliojaa samaki; hawakuwa mbali na nchi kavu, ila walikuwa yapata mita mia kutoka ukingoni.

Kusoma sura kamili Yohane 21

Mtazamo Yohane 21:8 katika mazingira