Yohane 9:17 BHN

17 Wakamwuliza tena huyo mtu aliyekuwa kipofu, “Maadamu yeye amekufungua macho, wasemaje juu yake?” Naye akawaambia, “Yeye ni nabii!”

Kusoma sura kamili Yohane 9

Mtazamo Yohane 9:17 katika mazingira