2 Mambo Ya Nyakati 2:3 BHN

3 Kisha, Solomoni akatuma ujumbe kwa Hiramu, mfalme wa Tiro, akamwambia, “Nitendee na mimi kama ulivyomtendea baba yangu Daudi, ulipompelekea mierezi ya kujengea ikulu.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 2

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 2:3 katika mazingira