25 Na katika kila mji wa Yuda, alitengeneza mahali pa kufukizia ubani miungu mingine. Kwa kutenda hivyo, alimkasirisha Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zake.
Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 28
Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 28:25 katika mazingira