24 Zaidi ya hayo, alivikusanya vifaa vyote vya nyumba ya Mungu, akavikatakata vipandevipande, kisha akaifunga milango ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu na kujijengea madhabahu katika kila pembe ya Yerusalemu.
Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 28
Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 28:24 katika mazingira