18 Matendo mengine ya Manase, sala yake kwa Mungu wake na maneno ya waonaji waliozungumza naye kwa jina la Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, hayo, yote yameandikwa katika Mambo ya Nyakati za Wafalme wa Israeli.
Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 33
Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 33:18 katika mazingira