2 Mambo Ya Nyakati 7:8 BHN

8 Naye Solomoni kwa muda wa siku saba alifanya sikukuu pamoja na kusanyiko kubwa la watu wote wa Israeli waliotoka kiingilio cha Hamathi mpaka mto wa Misri.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 7

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 7:8 katika mazingira