Esta 1:15 BHN

15 Aliwauliza hivi: “Je, kulingana na sheria, afanyiwe nini malkia Vashti? Maana, nimewatuma matowashi wangu kwake, lakini yeye amekataa kuitii amri yangu, mimi mfalme Ahasuero!”

Kusoma sura kamili Esta 1

Mtazamo Esta 1:15 katika mazingira