Ezra 4:19 BHN

19 Nimetoa amri uchunguzi ufanywe na imegunduliwa kuwa ni kweli kwamba tangu zamani mji huu wa Yerusalemu umekuwa ukiwapinga wafalme na kwamba watu wake wamekuwa waasi na wachochezi wakubwa.

Kusoma sura kamili Ezra 4

Mtazamo Ezra 4:19 katika mazingira