Ezra 8:15 BHN

15 Niliwakusanya pamoja watu wote kando ya mto uelekeao mji wa Ahava. Huko, tulipiga kambi kwa muda wa siku tatu. Niliwakagua watu wote pamoja na makuhani, lakini sikupata Walawi miongoni mwao.

Kusoma sura kamili Ezra 8

Mtazamo Ezra 8:15 katika mazingira