Ezra 8:16 BHN

16 Niliita waje kwangu viongozi tisa: Eliezeri, Arieli, Shemaya, Elnathani, Yaribu, Elnathani, Nathani, Zekaria na Meshulamu, pamoja na waalimu wawili, Yoyaribu na Elnathani.

Kusoma sura kamili Ezra 8

Mtazamo Ezra 8:16 katika mazingira