Ezra 8:30 BHN

30 Basi, makuhani na Walawi wakachukua fedha, dhahabu na vyombo vyote walivyopimiwa, ili kuvipeleka mjini Yerusalemu katika nyumba ya Mungu wetu.

Kusoma sura kamili Ezra 8

Mtazamo Ezra 8:30 katika mazingira