8 Wakati huo, Mwenyezi-Mungu aliwateua watu wa kabila la Lawi wawe wakilibeba sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu, wamtumikie kama makuhani na kubariki watu kwa jina lake hata hivi leo.
Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 10
Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 10:8 katika mazingira