25 Hakuna mtu yeyote atakayeweza kuwakabili. Popote mtakapokwenda katika nchi hiyo, Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, atawatia watu hofu wawaogope, kama alivyowaahidi.
Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 11
Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 11:25 katika mazingira