Kumbukumbu La Sheria 24:19 BHN

19 “Mnapovuna mavuno yenu shambani na kusahau masuke mengine humo, msirudi kuyachukua, ila waachieni wageni, yatima na wajane, ili Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu awabariki katika kazi zenu zote.

Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 24

Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 24:19 katika mazingira