16 Tena ndiye aliyewalisheni mana jangwani, chakula ambacho babu zenu hawakupata kukijua. Alifanya hayo yote ili awanyenyekeshe na kuwajaribu, ili kuwapima apate kuwajalia mema mwishowe.
Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 8
Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 8:16 katika mazingira