18 Kumbukeni kwamba Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ndiye awapaye uwezo wa kupata utajiri. Anafanya hivyo ili kuimarisha agano alilofanya na babu zenu mpaka leo.
Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 8
Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 8:18 katika mazingira