Maombolezo 2:6 BHN

6 Hekalu lake amelibomoa kama kitalu bustanini,maskani yake ameiharibu.Amefutilia mbali sikukuu na Sabato huko Siyoni,kwa hasira yake kuu amewakataa mfalme na makuhani.

Kusoma sura kamili Maombolezo 2

Mtazamo Maombolezo 2:6 katika mazingira