Mhubiri 9:15 BHN

15 Katika mji huo, alikuwapo maskini mmoja mwenye hekima, ambaye, kwa hekima yake aliuokoa mji huo. Lakini hakuna mtu aliyemkumbuka huyo maskini baadaye.

Kusoma sura kamili Mhubiri 9

Mtazamo Mhubiri 9:15 katika mazingira