Nehemia 10:39 BHN

39 Watu wa Israeli na Walawi watayapeleka matoleo ya nafaka, divai na mafuta ya zeituni kwenye vyumba ambamo vyombo vya patakatifu vinatunzwa na ambamo makuhani, wangoja malango na waimbaji wana vyumba vyao. Na daima tutaijali nyumba ya Mungu wetu.

Kusoma sura kamili Nehemia 10

Mtazamo Nehemia 10:39 katika mazingira